Winamp Logo
Men The Podcast Cover
Men The Podcast Profile

Men The Podcast

English, Health / Medicine, 43 seasons, 92 episodes, 4 days, 20 hours, 29 minutes
About
One of the major barriers to men addressing and tackling the challenges they face is the fact that discussion of mental health is largely taboo for Tanzanian men. They’re not expected to open up and talk about their struggles with life. Every two weeks (Fortnightly), on Fridays Michael Baruti and Nadia Ahmed present an episode that will discuss the challenges that men go through and offer detailed insight on mental health for men. If you’re interested in Mental Health and are interested in unpacking and unlearning mental health for men in Tanzania, this podcast is exactly what you need
Episode Artwork

Ijue Sifuri Yako (Part 2)

Baada ya kuzungumza naye katika sehemu ya kwanza, Bwana Ng’winula Kingamkono au maarufu zaidi kama #Unu wa Tunzaa anarejea tena katika Podcast yetu kwa sehemu ya pili na ya mwisho kwa sasa. Safari hii Unu anaendelea kutupa ujuzi na uzoefu wake katika kuanzisha, kusimamia na kuendesha biashara ya “StartUp” yake Tunzaa. Kumbuka, Unu hakuanzia hapa. Anaongea na Michael Baruti na Nadia Ahmed kuhusu maana ya mafanikio, maumivu aliyopitia, kitu anachojivunia na namna pia kwa upande mwingine kuwa baba kumekuja kuwa jambo bora na funzo bora sana kwake kama mwanaume, kaka, mtoto wa kwanza na zaidi ya yote kama mfanyabiashara. Na swala ambalo bado analilisitiza kwetu sote ni kuijua sifuri yetu. Je, wewe unaijua sifuri yako? Unajua ulipoanzia? Unajivunia safari yako? Sikiliza mazungumzo haya yenye mafunzo ya kutosha kwetu sote.
7/23/20241 hour, 14 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Ijue Sifuri Yako

Welcome to episode 92 of Men Men Men the Podcast, titled "Know Your Zero (Ijue sifuri yako)." In this enlightening episode, we are honoured to have Ng'winula Kingamkono, the Founder and CEO of TUNZAA, as our special guest. Hosted by Michael Baruti and co-hosted by Nadia Ahmed, this episode delves into the inspiring journey of Ng'winula and the innovative work he is doing with TUNZAA. Ng'winula Kingamkono shares his experiences and insights on entrepreneurship, the challenges he faced, and the pivotal moments that shaped his path to success. Join us as we explore the concept of "Knowing Your Zero," a powerful idea that underscores the importance of understanding one's starting point and leveraging it to achieve greatness. Michael Baruti and Nadia Ahmed engage in a thought-provoking conversation with Ng'winula, bringing out valuable lessons and actionable advice for aspiring entrepreneurs and innovators.   Don't miss this inspiring and informative episode. Subscribe to Men Men Men the Podcast for more engaging discussions and insights from industry leaders and change-makers.
7/9/20241 hour, 36 minutes, 29 seconds
Episode Artwork

Lessons From Our Fathers

What’s Father’s Day without an episode from your favorite award-winning podcast? It’s like a dad joke without the groan! 😂 On June 16th, social media was flooded with photos of people celebrating their dads and sharing the wisdom they’ve passed down. We thought, why not take it up a notch and have an open discussion about the lessons we've learned from our fathers? And boy, do we have stories! In this special episode, recorded live at the American Corner with a fantastic audience, we’re joined by the hilarious and insightful Mike Mushi and Zahoro Muhaji. Together, we laugh, reminisce, and dive deep into the life lessons our dads have taught us. Some tales are heartwarming, some are downright funny, and others give a modern twist on how to tackle fatherhood today. Buckle up for an episode packed with humor, laughter, and wisdom as we unpack “Lessons from Our Fathers.” Trust us, it’s going to be a wild ride!  
6/25/20241 hour, 48 minutes, 50 seconds
Episode Artwork

A Dad's Perspective on Autism

Meet Rabii Kinyogoli: loving husband, dedicated father, and all-around outstanding guy. He’s got two fantastic sons, but one of them is a little extra special—because he’s autistic. In a world where stigma around special needs is still all too common, and where some dads shy away from the challenges, Rabii stands out. He’s the dad who said, “I’m all in,” and he meant it. Join hosts Michael and Nadia as they sit down with Rabii, who shares his journey of diving headfirst into the world of autism. From learning the ropes to ensuring his son doesn’t miss out on a single moment of childhood, Rabii’s story is one of courage, devotion, and unwavering commitment. Tune in for a tale of heart and humor that will inspire every parent—and especially every dad—to step up and make a difference.
5/27/20241 hour, 13 minutes, 55 seconds
Episode Artwork

Men's Mental Health & Financial Freedom

Who doesn't dream of financial freedom? But let's face it, life throws curveballs that can sometimes feel more like a financial dunk tank. Even those who seem to have it all together might be battling loans, debts, and societal expectations. And don’t even get us started on the dreaded black tax! In this episode, Michael and Nadia roll up their sleeves and dive into the nitty-gritty of money matters. They're joined by Cornely Kilatu, the young, savvy financial advisor with a knack for helping others invest wisely. Together, they unravel the mysteries of financial challenges and reveal how relationships and marriages can sometimes bring unexpected bills. Get ready for a treasure trove of insights on transforming your wallet's woes into wins. Whether you need a crash course in budgeting or tips to untangle financial knots, this episode is a must-listen for anyone aiming to up their money game. Tune in for a dose of wit, wisdom, and actionable advice that could change your financial outlook!
5/7/20241 hour, 45 minutes, 50 seconds
Episode Artwork

Modernity, Modern Man & Relationships

Get ready for an unfiltered, dynamic conversation about relationships from a man's perspective! Join us as a group of brothers come together to share raw insights, powerful truths, and fresh perspectives on how men can navigate modern relationships and be their best selves. In today's fast-paced world of quick fixes, entitlement, and social media addiction, the pressure on how men should behave in relationships can be overwhelming. That's why we've teamed up with the Swedish Embassy in Tanzania to bring you a thrilling live session of #GlobalGuyTalk, transformed into this captivating podcast episode. With a live audience of fellow men and expert insights from Social and Health Psychologist George Chacha, this episode delves into the challenges and opportunities of being in a relationship as a modern man. We discuss how men can elevate their relationships and tackle toxic habits that can harm them. Tune in and immerse yourself in this eye-opening conversation. We hope you enjoy listening as much as we loved bringing it to you!
4/23/20241 hour, 24 minutes, 24 seconds
Episode Artwork

Against all odds

This is the Allan Lucky’s story of how he went against all odds to become the man he is today. Born in Songea, to a christian Family, Allan describes his early life as being constrained in the triangle of three main things, church, school and home. From an early age it seemed that this is how his would be. That’s till he came to Dar es Salaam and realized there’s more to life. Allan takes us on a journey about how he never thought of going back to school to end up graduating, how missing the shot of becoming a host of Planet Bongo TV and radio show during the presenter search broke him and sent him into depression. He shares with us his journey with the famous TV show called SKONGA and how that changed his life for the better and for the worse. While sitting on top of the world, married and with a kid, Allan quits EATV and the SKONGA TV show and leaves the country to neighbouring Kenya. Professionally things were great, but personally it came with a cost of him losing his family. So what were the lessons learned? Any regrets? And why did he come back to Tanzania after all that?  This is Allan Lucky’s story and how he fought all the odds stacked against him to get to where he is. When asked who is Allan Lucky, his response was “A father, a husband and a man who thrives at anything that life throws at him, even when stacked against all odds”
4/2/20241 hour, 45 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Luck, Preparations & Opportunities

In this captivating episode, join us as we sit down with Hisia, a remarkable individual whose journey from humble beginnings in Arusha to musical acclaim and entrepreneurial success in Dar es Salaam is nothing short of inspiring. From immersing himself in the world of sales and marketing at the tender age of 16 to showcasing his talents on Tusker Project Fame, Hisia's story is a testament to perseverance and hard work. Born as Elisha, he earned the name "Hisia" for his ability to sing straight from the heart. While some may attribute his achievements to luck, Hisia firmly believes in the power of preparation meeting opportunity. Through candid reflections on his trials, tribulations, highs, and lows, he shares the essence of his journey—a journey marked by resilience, determination, and unwavering belief in his convictions. From relocating from Arusha to Dar es Salaam alone to establishing his own marketing agency, Hisia's story is a fusion of luck, preparation, and seizing opportunities. Join us as we delve into the depths of his experiences, uncovering the lessons learned and the triumphs celebrated along the way. This is a tale of courage, ambition, and the relentless pursuit of dreams. Tune in to discover how Hisia's journey embodies the perfect blend of luck, preparation, and seizing every opportunity that comes his way.
3/19/20241 hour, 22 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

Letting It Go

Embark on a riveting journey with Gosby, a rising star from the vibrant streets of Namanga, Oysterbay, and block 41. Blessed with multifaceted talents in singing and rapping, Gosby's path to stardom seemed inevitable. Yet, despite his unwavering dedication to music, he harboured a pragmatic mindset, always prepared with a fallback plan - a commitment to education and maintaining focus on his studies. In this compelling episode, Gosby candidly shares his experiences with longtime friend Michael, delving into pivotal career decisions that have shaped their lives. Together, they explore the sacrifices made and the divergent paths taken to navigate the twists and turns of their respective journeys.  Gosby reflects on his transition from the entertainment industry to the corporate world, offering profound insights into the transformative impact of fatherhood and marriage on his life. Join us as Gosby imparts invaluable wisdom on the art of letting go - recognizing when to release the past and embrace new opportunities. Through his story, he illuminates the essence of resilience and adaptability, illustrating the importance of strategic decision-making in navigating life's ever-changing landscape.  Tune in as Gosby shares the profound lessons learned along his remarkable journey and inspires listeners to embrace the power of decisive action in shaping their destinies.
3/5/20241 hour, 18 minutes, 38 seconds
Episode Artwork

Picking the right partner

In a world where relationships are about as stable as a house of cards in a windstorm, and divorce rates are soaring faster than Elon Musk's rockets, is there any hope left for men to navigate the stormy seas of love and come out unscathed? Enter 'Men Men Men - The Podcast,' where Michael reunites with his high school buddy, Karim Shaibu, to tackle this burning question with the finesse of a surgical team armed with a chainsaw. With wisdom and a hefty serving of sarcasm, Karim dives into the depths of the relationship abyss, armed with a three-point plan to rescue us from the impending apocalypse: 'Divine Dating': Karim suggests consulting the ultimate relationship manual—maybe the Big Guy upstairs has some insider tips we've been missing out on all this time. It's time to dial up the heavens and request some divine intervention in our love lives. 'Compromise Cuisine': In a world where everyone wants their way or the highway, Karim advocates for a sprinkle of compromise to grease the wheels of love. After all, relationships are a two-way street, not a demolition derby. 'Back to the Future with Arranged Marriages': Prepare to raise eyebrows faster than a disastrous Tinder date as Karim proposes a radical solution straight out of your grandma's playbook: arranged marriages. Because maybe Auntie and Uncle knew something we didn't about making love last for 50 years. Karim doesn't sugarcoat the truth as he dives headfirst into the murky waters of modern romance. He embodies the 'Men Men Men' spirit, where honesty reigns supreme, and tough conversations pave the road to enlightenment. Buckle up for a wild ride as these two friends dissect love, life, and everything in between. Trust us, you won't want to miss this episode—it's like therapy, but with more laughter and fewer copays."
2/21/202450 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Living with the choices we make

Happy New Year, fabulous listeners! Guess who's back to kick off 2024 with a bang? That's right, it's your favorite podcast, and we've got an episode that's more thrilling than a rollercoaster ride with a twist. Meet Zlatan Milisic, the UN Resident Coordinator for Tanzania. He's not just your average globe-trotter; this guy has seen it all – living in war zones, dodging bullets like a pro, and surviving to share his jaw-dropping tales. But hold on, this isn't your typical action movie; it's a podcast about life choices, mental health, and the art of thriving amidst chaos. Join Michael and Nadia in the cozy chaos of Nadia's office as they sit down with Zlatan. Forget the cliché therapy talk; Zlatan spills the beans on why choosing your well-being is the real game-changer. Get ready for a rollercoaster of emotions as he unravels the UN's secret recipe for staff well-being and spills the tea on how they're tackling mental health in Tanzania. This episode isn't just a conversation; it's a manual for navigating life's hurdles. So buckle up, because Zlatan, Michael, and Nadia are about to take you on a ride where the only destination is self-discovery and the courage to face life head-on. Life's a challenge, and this episode is your secret weapon. Tune in, laugh, maybe shed a tear, and remember – we're all in this together. Cheers to 2024 and conquering life like a boss! 🚀✨
2/1/202458 minutes, 22 seconds
Episode Artwork

Men and Healing

Katika “episode” yetu ya leo, wanaume wawili wameketi na kuulizana, kweli kuna mwanaume aliyepona? “A healed man”?  Tunaposema “A healed man” au mwanaume aliyepona, hapa tuna maanisha mwanaume ambaye amechukua muda wake kujitambua na kujua mapungufu yake, historia yake, sababu ya kwanini yupo jinsi alivyo, amejifunza kutokana na makosa yake, na pia yupo katika mapambano ya kumfanya awe mwanaume bora zaidi siku za usoni.   Kwa mujibu wa mgeni wetu wa leo, ndugu Leslie Omwenga, anasema hakuna kitu kama hicho. Hakuna kitu kama “A healed man”, na sababu kuu ya yeye kusema hivyo ni kwamba anaamini kila mwanaume ana kazi ya kuendelea kupambania afya yake ya akili mpaka siku ya mwisho, hivyo kwake kuna “A healing man”. Au mwanaume anayepona.  Huyu ni mwanaume ambaye kila siku anataka kuendelea kuwa bora, na anatakiwa afanye hivi mpaka siku ya mwisho ya uhai wake.   Leslie pamoja na Michael Baruti wanajadili swala hili kiundani, huku kila mmoja akichangia kwenye hili kutokana na uzoefu wake pamoja na ufahamu wake kuhusu mchakato mzima wa kumfanya mwanaume kuwa bora. Hakuna kitu ambacho hakikuguswa hapa, kuanzia malezi, mahusiano, swala zima la kipato, pamoja na swala zima la kumpeleka mwenzi wako ukweni kwake 😂😂.   Karibu katika episode ya leo.
12/7/20231 hour, 42 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Raising a Neurodiverse Child

Mganga hajigangi ni msemo unaofahamika sana na wengi wetu, na wengi tunautumia pale tunapoona inafaa, ila kwa siku ya leo, ni kweli MGANGA HAJIGANGI. Dr Isaac Maro ni daktari maarufu hapa Tanzania, na amehudumia watu wengi na kutoa ushauri wa kitabibu kwa wagonjwa wengi sana, aidha kwa kupitia taaluma yake kama daktari, kupitia nafasi yake kama mkufunzi wa elimu ya juu, lakini pia kupitia nafasi yake kwenye jamii kama mtayarishaji na muongozaji wa kipindi pendwa cha redio kinachofahamika kama NJIA PANDA. Lakini, ni nani aliyempa ushauri, na kuwa mganga kwake pale alipogundua kwamba mtoto wake wa pili, Ivan, ana usonji? (Autism). Aliweza kufuata ushauri anaowapa watu wengine au ni kipi alichokifanya ili kuweza kubadili maisha yake na kuendelea kumlea Ivan kwa namna bora? Kwenye maongezi ya leo, Dr Isaac Maro anachambua changamoto, furaha, mafanikio na yote ambayo mtu anaweza kupitia wakati wa kulea mtoto ambayo ni tofauti na watoto wengine (Neurodiverse) . Lakini pia anajaribu kujibu swali la ipi ni nafasi ya baba kwenye hili, na ni kwanini wanaume wengine hukata tamaa na kuamua kutelekeza familia zao pindi watoto wao wanapokuwa tofauti na watoto wengine. Karibu kwenye episode ya leo, tujifunze wote. 
11/23/20231 hour, 3 minutes, 19 seconds
Episode Artwork

Only Way Up

Kutana Babuu wa Kitaa, Super Star, mkali kutoka King’oko, mwana hiphop, na mtangazaji kutoka moja kati ya vyombo vikubwa sana vya habari hapa nchini Tanzania. Kwa macho ya nje, Babuu ni kijana anayeishi ndoto za watu wengi sana. Kijana, maarufu, ana kazi nzuri, ana familią changa. Nadhani hii ni ndoto ya kila mwanaume. Lakini, kitu ambacho wengi tulikuwa hatukitambui, ni kwamba Babuu anapambana na vita kali sana ndani ya mwili wake na kwenye maisha yake binafsi. Maisha ya Babuu wa kitaa yalibadilika mara baada ya kugundulika kwamba ana saratanı ya ngozi, lakini pia mmoja kati ya watoto zake watatu anasumbuliwa na “Down syndrome” Pamoja na yote hayo, Babuu hajakubali changamoto hizi zimrudishe nyuma na kumfanya kuishi kinyonge. Ameendelea kuwa Babuu yule yule ambae wengi tunamfahamu, na kwa sasa anasisitiza kuwa kubali changamoto zako, na njia pekee ya kupambana nazo ni kwa kuangalia na kusonga mbele na juu . “ONLY WAY UP” Anaketi na Michael pamoja na Nadia, kwa pamoja wanazungumzia vita ya Babuu dhidi ya saratani aliyokutwa nayo, maisha yake kama baba anaelea mtoto ambae yupo tofauti na watoto wengine, na ni vipi ameweza kubaki kuwa Babuu yule yule ambae wote tunamfahamu kati kati ya changamoto zote hizi anazopitia? Na kwanini anaamini sana katika slogan yake ya “ONLY WAY UP”? Subscribe kwenye channel yetu ya YouTube, utazame na kusikiliza mazungumzo haya ya kusisimua na yenye mafunzo mengi sana kuhusu maisha. 
11/2/20231 hour, 20 minutes, 17 seconds
Episode Artwork

Jali afya yako ya akili

Mwezi wa kumi huwa ni mwezi maalumu kwa ajili ya kufanya kampeni inayokuza na kueneza uelewa kuhusu afya ya akili (Mental Health Awareness month). Na dhima kubwa ya mwaka huu inasema “Afya ya akili ni haki ya binadamu kwa wote” Kwa kujua umuhimu wa siku hii na namna gani swala zima la afya ya akili linavyohitaji mjadala mpana nchini Tanzania, Michael na Nadia wameketi chini na kuichambua safari nzima ya afya ya akili hapa nchini Tanzania. Tunakubaliana na ukweli kwamba kuna hatua zimepigwa kwenye kuhakikisha misaada na ufahamu wa afya ya akili unaongezeka katika jamii, ila lazima tuwe wakweli kwamba bado pengo pia linaonekana.  Mazungumzo ya leo  yanatulezea namna ya kugundua changamoto za afya ya akili, umuhimu wa kutafuta msaada, msaada unapopatikana lakini pia, kama hauwezi kumudu gharama za wataalamu, ni nini ambacho unaweza kiufanya mwenyewe ili uweze kujiokoa? Mazungumzo yote ya leo yamefanyika yakiwa na lengo moja tu, kukufanya uanze kujali afya yako ya akili. Na ndiyo maana kipindi cha leo kinaitwa “Jali afya yako ya akili”
10/19/20231 hour, 8 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

Baba na mtoto wa kiume

Kaa tayari kusikiliza mazungumzo mazuri, yenye kufurahisha, kufundisha na kujenga kwenye episode yetu ya 78. Michael Baruti, na mgeni wetu maalum wa siku ya leo, mtangazaji mashuhuri bwana Harris Kapiga wanazungumza kuhusu dunia ya “u-baba”, na ina maana gani kwa mtoto wa kiume. Na ndiyo sababu ya mazungumzo ya leo kuitwa “Baba na mtoto wa kiume”.   Ni kazi gani ambayo baba inabidi afanye ili aweze kulea mtoto wake wa kiume katika dunia ya sasa?. Katika maongezi haya Michael na Harris Kapiga ambaye ni baba wa watoto watatu wa kiume wanazungumza na ku-“share” uzoefu wao, busara, ushauri, mafaniko, changamoto, maanguko na upekee wa safari walizopitia na wanazoendelea kupitia wakiwa kama watoto wa kiume, lakini pia wakiwa kama wakina baba wanaolea watoto katika dunia ya sasa yenye mambo mengi sana.    Fanya ku-subscribe kwenye ukurasa wetu wa “YouTube” na usikilize na kufurahia mazungumzo haya.   Ni mazungumzo muhimu sana kwa kina baba wote, hususani wale wanaolea watoto wa kiume
10/5/20231 hour, 11 minutes, 12 seconds
Episode Artwork

Re-Examining Male Vulnerability

Join us for a thought-provoking episode as we delve deep into the complex realm of vulnerability and its implications for men. In a world that increasingly champions open conversations about men's mental health and encourages vulnerability, we ask the crucial question: What truly is vulnerability, and is it a positive force for men? In today's society, where traditional notions of masculinity are being redefined, we confront the intricate facets of vulnerability. Many men grapple with the idea that opening up emotionally might lead to pitfalls. This fear often stems from past experiences where vulnerability felt like a double-edged sword—used against them, leaving them hurt or devalued. Are we, as a society, genuinely prepared to embrace the vulnerability of men? This episode unearths the layers of this important discourse. We explore the tension between the growing movement to promote men's emotional well-being and the lingering skepticism that vulnerability might remain a precarious path. We're honored to have Ally Bukuku as our guest on this episode. With insightful perspectives, Ally joins our hosts to shed light on the intricacies of men's vulnerability. Through this candid conversation, we aim to reevaluate the concept of vulnerability for men and its profound impact on their mental health. Tune in to gain a deeper understanding of vulnerability's place in the lives of men today. This episode challenges preconceptions, sparks conversations, and offers new insights into a topic that's shaping the future of masculinity and mental health.
8/17/20231 hour, 18 minutes, 10 seconds
Episode Artwork

Conscious Uncoupling & Co-Parenting

Join us on this week's episode of the podcast as we delve into the concept of "Consciously Uncoupling" - what it truly means and its practicality. Is it achievable, and how does it come into play when children are involved, necessitating co-parenting?   One of the most challenging aspects men face is co-parenting after separation from their life partners or the individuals they've had children with. The emotions can run high, making it seem like an insurmountable task. But is there a way to manage such situations effectively? What goes through a man's mind when dealing with this complex scenario?   We are honoured to have Ally Bukuku, a devoted parent, join us for this candid conversation. He will share his insights on "consciously uncoupling and co-parenting," shedding light on why it is crucial for individuals to part ways amicably, especially for the well-being of their children.   Tune in to gain valuable perspectives and learn how fostering peace during separation can lead to a healthier co-parenting dynamic, creating a positive impact on everyone involved. Don't miss this insightful episode that promises to offer guidance and support in navigating the complexities of conscious uncoupling and co-parenting.   Subscribe now to stay updated and be part of this meaningful dialogue.    
8/3/20231 hour, 37 minutes, 38 seconds
Episode Artwork

Chasing Dreams: The Highest Cost Of Pursuing Passion

In this week's powerful episode of "Men, Men, Men - The Podcast," we delve into the raw realities of men's mental health. Join us as we sit down with Paul, a brave and determined individual who chose to embark on a transformative journey. With a loving wife and a newborn baby, Paul took the courageous step of leaving his stable job to pursue his dreams through higher education. However, the path to fulfillment was far from smooth. Financial challenges emerged, putting immense strain on Paul's aspirations and his family's well-being. Despite relying on savings and side gigs, the hurdles seemed insurmountable. Tune in as Paul opens up about the emotional and financial rollercoaster he faced during this life-altering decision. His candid sharing sheds light on the complexities many men encounter when they strive to redefine their lives while coping with the weight of responsibilities. This episode offers valuable insights into the resilience of the human spirit and the importance of addressing mental health concerns faced by men. Join us as we explore the triumphs and tribulations of Paul's journey, aiming to inspire and provide solace to all those who resonate with the challenges he bravely confronted.
7/20/20231 hour, 29 minutes, 17 seconds
Episode Artwork

Courage Amid Chaos: Hassan Tibwa's story

Embark on a captivating podcast journey as we unravel the extraordinary life of Hassan Tibwa. Follow Hassan’s path as he sets out on a daring adventure, leaving Tanzania with the promise of studying in Algeria, only to find himself enrolled in a university in Sudan. As the episodes unfold, we explore how Hassan not only navigates the challenges of living in a foreign country but also manages to sustain himself while maintaining a secret life, with his family back home still believing he’s in Algeria. However, fate takes an unexpected turn when war erupts, presenting Hassan with a life-altering choice. Rather than returning home, he decides to stay, unknowingly becoming the unexpected savior for over 60 strangers trapped in the war-torn zone. Join our host, Michael, as he sits down with Hassan for an exclusive interview that reveals the untold aspects of his incredible journey. Through heartfelt conversations and intimate details, Hassan shares his remarkable story, offering listeners a unique perspective on courage, sacrifice, and the power of human resilience. Get ready for a gripping episode that will leave you inspired and in awe of the extraordinary impact one person can make in the face of adversity. Tune in to witness the remarkable tale of Hassan Tibwa like you’ve never heard it before.
7/6/20231 hour, 28 minutes, 24 seconds
Episode Artwork

Masculinity, How to Harness Your Energy?

Welcome to a captivating episode of "Men. Men. Men – The Podcast" with your hosts Michael and Nadia.   In this empowering discussion, we explore the multifaceted concept of masculinity and delve into the art of harnessing one's energy.   Joining us as a special guest is the remarkable Yashuke, bringing his unique insights and experiences to the conversation. Together, we explore the presence of both masculine and feminine energy within individuals, uncovering the ways to achieve a harmonious balance.   From redefining societal expectations to embracing vulnerability and emotional intelligence, we navigate the path towards authentic self-expression and personal growth.   Tune in for an enlightening exploration of masculinity, energy harnessing, and the transformative power of finding equilibrium between these essential forces.
6/22/20231 hour, 41 minutes, 4 seconds
Episode Artwork

Unveiling the unspoken: Exploring the roots of men's mental health struggles

Life can be a battleground, and within each of us, silent battles rage on. But amidst these struggles, there are profound challenges deeply embedded within us, waiting to be understood and addressed. In this poignant episode of "Men. Men. Men - The Podcast," we embark on a journey to the core of men's mental health struggles, illuminating the path towards healing and personal growth. Join us as we welcome Yashuke Masura, a remarkable individual who bravely shares his transformative story alongside Michael and Nadia. Together, they delve into the importance of unraveling the origins of our personal battles, exploring how these roots have shaped their lives and influenced their paths to becoming better individuals. With the guidance of our resident psychologist, Nadia, we gain valuable insights into the consequences of leaving our deep-seated issues unaddressed. By failing to confront these underlying challenges, we risk exacerbating the deterioration of our mental well-being. Through heartfelt conversations and shared experiences, we shed light on the profound impact that unaddressed struggles can have on our lives. "Men. Men. Men - The Podcast" strives to create an environment where vulnerability is celebrated, offering a platform for open dialogue and growth. By uncovering the origins of our individual battles, we hope to empower our listeners to embark on their own journeys of self-discovery and healing. Prepare for another life-changing conversation that will inspire you to explore the depths of your own struggles. Tune in to "Men. Men. Men - The Podcast" as we shed light on the importance of addressing the roots of men's mental health struggles, paving the way for a brighter and more fulfilling future.
5/25/20231 hour, 57 minutes, 47 seconds
Episode Artwork

Re-examining masculinity

Welcome to "Men. Men. Men –The Podcast" with your hosts Michael and Nadia. In this episode, we will be exploring the complex and ever-evolving concept of masculinity. Society often has a narrow definition of what it means to be a man, which can lead to harmful and limiting stereotypes. In this podcast, we will be breaking down those stereotypes and discussing what it truly means to be a man in today's world. Through insightful conversations with our guest, Kennedy Mmari, we examine how masculinity intersects with mental health. We also explore how toxic masculinity and gender norms affect individuals, relationships, and communities. Our aim is to create a safe and open space for listeners to learn, question, and challenge their own beliefs about masculinity. Join us as we delve into this important conversation and work towards redefining what it means to be a man in today’s world  
5/11/20231 hour, 37 minutes, 5 seconds
Episode Artwork

Taking action, growing wealth

It’s a known fact, every man’s dream is to provide for his family while being able to achieve the financial freedom. The ultimate financial goal for all men is to be able to create and generate wealth that would be able to take care of his family long after he is gone.   In this episode, we delve into the strategies and mindsets required to build wealth. And how, men if they stick together and help each other out financially, then there’s no limit to what they can achieve.   Patrick Nanyaro shares insights on developing a solid financial plan, identifying lucrative investment opportunities, and navigating the ups and downs of finances.   Whether you're just starting out on your wealth-building journey or looking to take your finances to the next level, this episode is a must-listen for anyone seeking to grow their wealth and achieve financial security.
4/28/20231 hour, 6 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

The silent struggles of fatherhood

Fatherhood, for many, might seem like it begins in the waiting room, when he’s pacing up and down, waiting for the doctor to come out of the delivery room, and give him the good news. Sadly, what many don’t realize, is fatherhood, for many men, is also a journey through pregnancy, to delivery, and thereafter. Often, society fails to notice that a man expecting a child, goes through motions that also affect his mental wellbeing. Fathers to be lack safe spaces that can allow them to express and address their anxiety of becoming a father, their emotional turmoil and fears-leaving some to resent the entire process of childbearing, especially for first time fathers. Hafiz Juma and Abu Msuya join Michael and Nadia on this specific episode and together they discuss the trial and tribulations of being a father for the first time. For all the joy that comes with getting your first child, for most fathers this signals the beginning of a never ending journey that will humble you and make you question what the future will look like.
4/13/20231 hour, 29 minutes, 21 seconds
Episode Artwork

The realities of married life

What are the rumours about marriage? What did you envision married life to be like before you got married?   Did you anticipate "getting it" every time you desired it? Did you anticipate things like children, misunderstandings, and body changes and how they would end up impacting the intimacy with your life partner? Have you talked to your partner about it? Do you have the language for it? Are you dying inside without any solutions? Do you know how to bring it up without coming across as self-centered?   Meet Alexis Kwamy. Alexis joins us as we discuss the realities of married life, one of the most important subjects that men need to discuss. While advising other men, Alexis shares his experience with what he has gone through and what he did to save his marriage.   We hope lessons from this episode will help to spark more conversations that men need to have with their partners.
3/23/20231 hour, 12 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Social constructs & men's mental health

Social constructs and men’s mental health. Where do we even begin with this one? One of the major barriers when it comes to men’s mental health in most cases is how society has programmed them to think about some of the things that affect their well-being. While in m most cases we speak about how society does not allow safe spaces for men to express their feelings and their emotions about certain things, this same society has also caused men to normalize some of the things that are detrimental to their mental and physical well-being. Dr. Katanta Simwanza, a public health specialist, an advocate for men’s well-being and men’s mental health, as well as a trainer and specialist on sexual reproductive health, joins Michael and Nadia in this episode to unpack how social constructs have shaped modern men and how that is impacting their lives. He shares how the simple life choices that we fail to make now and follow through now, end up affecting and impacting our lives in ways that we can’t even imagine. Enjoy listening to this episode, it is purely a life-changing conversation
3/9/20231 hour, 32 minutes, 16 seconds
Episode Artwork

Career choices & fulfillment

How much of what you do for a living is really you? What influenced your career choice? Do you feel fulfilled with the choice that you made? These are the questions that Michael and Nadia are trying to dissect on this episode. Dr Alpha Kapola (MD) is an amazing videographer, yes, you read that right, he is a Doctor but also an amazing videographer. Alpha feels like he has found his calling in mixing up his profession with his passion But it has not always been easy for him. It meant defying his parents' expectations of him and going against society’s expectations as well. Did it come with a cost? Was it worth it? Would he do the same thing again if he gets a second chance? He answers all these questions on the podcast. He also talks about how society and people’s expectations tend to end up a lot of people’s dreams and potentials
2/23/20231 hour, 22 minutes, 10 seconds
Episode Artwork

Who are you?

WE ARE BACK, AND HAPPY NEW YEAR TO EVERYONE. Now that is out of the way, do you have some new year's resolutions? Do you know what you want for this year? Do you know what you want to achieve? Have you set plans for it? Well, Sam Ndandala delivers one of the best quotes ever on this episode by saying “Who you're beats what you want” so, how much of what you want aligns with who you’re as a person and your values? Why do we set “superficial goals” of the things that we want, rather than realistic goals for the person that we want to become? The latter involves the process of introspection and self-discovery. Join Sam Ndandala, Ben Owden, and Princely Glorious as they navigate through the discussion of men and setting up resolutions, and how much that has to align with your values and who you really are as a person. So, do you know who you are? WHO ARE YOU?
2/9/20232 hours, 25 minutes, 38 seconds
Episode Artwork

Parenting from a distance

Jambo la kutafuta kwa ajili ya kuangalia na kuhudumia familia yako ni jambo ambalo halikwepeki kwa mwanaume, tena ikiwa ni mwanaume anaewajibika katika majukumu yake. Lakini, kwenye kutafuta wanaume wengi sana wamejikuta ikiwabidi kwenda kuishi mbali na familia zoo ili waweze kuzihudumia na pia waweze kutimiza ndoto walizonazo juu ya familia zao. Kuishi mbali na familia kunakuja na changamoto nyingi sana ambazo labda jamii haizitambui. Wanaume wengi wanateseka na namna ya kulea watoto wao, lakini pia hata namna ya kuboresha mahusiano na wenzi wao huku wakikabiliana na umbali uliopo kati yao. Philip Changala alihamia Dar es Salaam kutoka Dodoma mwaka 2016, akaacha familia yake Dodoma yenye mtoto mdogo kabisa. Leo hii ameamua kuzungumza na sisi namna maisha ya kuwa mbali na familia, hususani familia changa inavyoweza kuwa na changamoto nyingi sana kwa mwanaume, na namna ambavyo inaweza kuwa chanzo kikubwa cha changamoto ya afya ya akili kwa mwanaume. Nadia anaelezea namna ambavyo mwanaume anaweza akapambana na hali hiyo, lakini pia ni hatua zipi za kuchukua ili kuhakikisha nafasi yako kama baba na kama mume bado inabaki hata kama maisha yamekupeleka mbali na familią yako
11/10/20221 hour, 18 minutes, 23 seconds
Episode Artwork

Intergenerational Conversations

This one is for the books. Our episode with Walter Bgoya, a senior citizen and longtime publisher in Tanzania, is all about intergenerational conversations. Walter dives into this episode and shares his insights as a man on parenting, business, relationships, his values as a man but also, working with his son in the same family business, and how to cultivate a relationship between a father and his children. He also speaks on the differences between men of his generation and this generation. What they got right then, and what they should have done better, as well as sharing his thoughts on the current generation of men in terms of what they get right and what concerns him. We would confidently say this is that episode that brings men of different generations together and maybe have them learn from each other’s experiences.
10/28/20221 hour, 26 minutes, 44 seconds
Episode Artwork

Ukweli wa ndoa yangu

Linapokuja swala la ndoa na mafanikio ya ndoa watu wengi huwa na mitazamo tofauti. Wapo wanaosema ndoa ni ngumu na si rahisi kufanikiwa kwenye ndoa, na wapo wanaosema ndoa ni ngazi ya mafanikio pale wanandoa wanapokubaliana kwenye hilo. Leo hii, sisi tunajiuliza, ni nini nafasi ya mwanaume kwenye kuifanya ndoa ifanikiwe? Ni kweli kwamba ndoa inapaswa kuwa ngumu? Kwa wanaume ambao wamefanikiwa kuishi kwenye ndoa vizuri na kwa muda mrefu, ipi imekuwa chachu ya mafanikio hayo? Julius Mlacha ana umri wa miaka 50, na ndoa yake inakaribia miaka 25. Ameungana na Michael na Nadia kwenye maongezi haya akielezea kiundani siri ya mafanikio kwenye ndoa yake, na namna gani mwanaume ana nafasi na jukumu kubwa sana kwenye kuhakikisha ndoa yake inadumu na ina stawi katika namna bora. Huu ni ukweli kuhusu ndoa yake
10/13/20221 hour, 29 minutes, 17 seconds
Episode Artwork

Inflation and Mental Health

The first step to recovery is admitting you have a problem. This week, we're talking about inflation and mental health. A topic that's been a little too close to home for us lately. We've all been there. You wake up on a Monday morning and realize that your entire life has changed since that weekend at the bar. You can't afford anything you want or need, and it's all your fault. Or maybe you're just trying to figure out how to manage this new normal of having less money every single day. Either way, we've got some advice on what to do when the world around you is changing faster than your earnings can keep up with. Listen in!
9/29/20221 hour, 24 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

We all need a second chance

Loving your father can be complicated. Especially if he has been in and out of your life without any explanations for most of it. When he calls for help, do you go running to assist or do you hold back and doubt whether to help him or not? So many questions that are difficult to answer. Mark, who was our first ever guest on the Podcast is back again, and this time he is talking about how he repaired his relationship with his father and how he had to look past his pain and disappointments for him to be able to look after him. The big lesson here is that we all need a second chance.
9/15/20221 hour, 19 minutes, 40 seconds
Episode Artwork

We decided to not have kids

When the subject of parenthood comes up, you can expect to hear all kinds of opinions. But here's one I don't think anyone will disagree with: there are some people who just aren't cut out to be parents. And it's not because they are not good people or that they would make bad parents, no. It's because for some people, being a parent is a calling and it is just not for everyone. Dr Mujuni, a gynaecologist and his wife who is also a medic have been married for more than four years, and at the beginning of this year they made a decision to not have kids. It wasn't an easy decision to make, but now they've found themselves more fulfilled than ever. So, what prompted them to that decision? Join the conversation on this episode
8/25/20221 hour, 25 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

Let's keep it real, we need each other (Part 2)

Karibu katika sehemu ya pili ya mazungumzo yetu kuhusu mtoto wa kiume na majukumu yanayomkabili katika dunia inayopambania usawa wa kijinsia. Baada ya mazungumzo marefu katika sehemu ya kwanza, sehemu hii ya pili inajaribu kuona ni nini kifanyike ili kuweza kuleta huu usawa na nafasi ya mwanaume katika kulifanikisha hili. Lakini pia, je tunahitaji kubadili mbinu tunazotumia au inabidi tuboreshe hizi hizi zilizopo ili wanaume na wao wapate kushiriki kikamilifu? Rolland Malaba (Madenge) anamalizia sehemu ya pili ya maongezi haya pamoja na watayarishaji wa podcast hii, Michael Baruti na Nadia Ahmed
8/11/202243 minutes, 20 seconds
Episode Artwork

Let's keep it real, we need each other (Part 1)

Ni karne ya 21, na mapinduzi mengi sana ya kimaendeleo yametokea duniani na yanaendelea kutokea. Na tunajua kwamba ili tuweze kuendelea kuwa bora kama jamii na kamą wanadamu basi hatuna budi kuyakumbatia mapinduzi yenye tija na yenye kuleta mabadiliko chanya katika jamii yetu. Moja ya mapinduzi ambayo kama binadamu tumechelewa sana kuanza kuyapambania kwa nguvu zote ni mapinduzi juu ya usawa wa kijinsia. Hili ni jambo jema na lenye msingi wenye kuleta heri kwa jamii nzima. Lakini, ili mapinduzi haya yafanikiwe na yaweze kufikiwa malengo yanayopaswa kufikiwa basi ni lazima jinsia zote mbili ziweze kushiriki kikamilifu katika mchakato huu. Swali ambalo tunajiuliza leo kwa undani, ni je wanaume wanashiriki kikamilifu katika mapambano na mchakato wa kuleta haki sawa kwa jamii yetu? Kama wanashiriki, nini imekua mchango wao? Na kama hawashiriki, ni kitu gani kinazuia ushiriki wao kikamilifu? Hofu ya wanaume ni nini kwenye hili? Chimbuko la hofu hiyo ni nini? Na ni vipi tunaweza kumshirikisha mwanaume huyu kikamilifu kwenye hii safari? Sababu kiukweli kabisa, wanaume na wanawake wote wanahitajiana kwa ustawi bora wa jamii Rolland Malaba A.K.A Madenge amejadili swala hili kwa undani na kujaribu kuchanganua baadhi ya mambo akishirikiana na Michael Baruti pamoja na Nadia Ahmed. Karibu usikilize Sehemu ya kwanza ya maongezi haya
7/28/202245 minutes, 57 seconds
Episode Artwork

Consent and Power Dynamics

One of the things that we set out to do when we started the podcast was to also challenge the stereotypes and to question the habits that for the longest time we’ve never had to question as a society, today’s episode is going to do exactly that. Today, let’s talk about “Consent and Power Dynamics” As a man, a Tanzanian man, what is your knowledge about consent? Where did you learn about it? Were you taught about it or is it something that you had to learn on your own? Do power dynamics also have to be considered and taken seriously when talking about consent? Our hosts, Michael Baruti and Nadia Ahmed are joined by this week’s guests, Aden. And together they try to unpack this topic. Join in and enjoy the episode.
7/14/20221 hour, 1 minute, 15 seconds
Episode Artwork

Insecurities, How do we fight them?

As men, especially African men one thing we were taught growing up was the importance of being secure and how it was such a weakness or even shameful to admit to your weaknesses and insecurities. But most importantly, the importance of displaying the role of a perfect man to the public. But the truth of the matter is, as humans, we are all flawed and we all have our insecurities. Matter of fact, there is absolutely nothing wrong with you owning up to your insecurities. The question is, do you know your insecurities? Henry Sondo from “What If We Keep It Real” joins Michael and Nadia on this week’s episode to discuss. Insecurities, and how to fight them. Should we even try to fight them in the first place?
6/30/20221 hour, 38 minutes, 21 seconds
Episode Artwork

Ep 53 - Streets Raised Me

Identity and a sense of belonging are things that we all want in this life. Now imagine this, a father decides to disown you before you were even born. Before you reach two years of age, your mother abandons you in the middle of nowhere and she moves on with her life. As a result, you end up feeling rejected, and growing up, you always feel as if you’re not good enough. Do you know the impact this can have on someone’s life? In this episode, our guest Anthony opens up about growing up as an abandoned child and how he had to fend for and take care of himself on his own since he was a child. How that has impacted his life as a man now? Anthony opens up to Michael and Nadia about how for the longest time he hated his mother and despised his father and how that has harmed his thoughts about starting his own family. He also speaks about the power of forgiveness and giving each other second chances, and how that is helping him now to mend the relationships with some of the most important people in his life.
6/9/20221 hour, 21 minutes
Episode Artwork

Ep 52 - I still want to be a father

Mahusiano huisha, na mara nyingine pia ndoa huvunjika. Si vitu ambavyo tunafurahia vikitokea ila uhalisia wa maisha ndivyo ulivyo. Swali ni pale tu, vipi ndoa ikivunjika wakati tayari kuna mtoto ambaye ni zao la ndoa hiyo ni nini kifanyike ili wazazi wote wawili waweza kuwa na haki sawa juu ya mtoto au watoto wao? Michael na Nadia wameketi pamoja na J (si jina lake halisi) wakijadili namna mwisho wa mahusiano ya ndoa yake kulivyokua chanzo cha yeye kutopata nafasi ya kuwa baba kwa namna ambayo angependa kuwa baba kwa mtoto wake J anawakilisha wanaume wengine kwenye mazungumzo haya, ambao kwa namna moja au nyingine wangependa kuhusika kwenye maisha ya watoto wao, ila kutokana na namna mahusiano yao na wenzi wao au namna yalivyo au yalivyoisha imekua ngumu kwao kupata nafasi hii. Swali ni, tufanye nini ili hata kama mahusiano yanaisha, bado mwanaume anapata nafasi ya kuwa baba na kuhusika kwenye maisha ya mtoto wake? Karibu kusikiliza mazungumzo haya
5/26/20221 hour, 14 minutes, 21 seconds
Episode Artwork

Ep 51 - Men VS Communicating their emotions

Our favorite podcast is baaaaack. And the amazing conversations are back as well. After 5 months hiatus, Michael Baruti and Nadia Ahmed are back to producing and hosting this podcast. In today’s episode, we ask, why is it so hard for men to communicate their emotions? What happens when men don’t communicate their emotions? Do men know how to communicate their emotions? And why is that important for their mental well-being? In the studio, they are joined by Justice Rutenge, a communications and results measurement consultant. Together they embark on the journey of unpacking many questions that we all have when it comes to men and communicating their emotions. Justice shares his experience as well as the barriers that he thinks to limit many men from expressing their emotions while Nadia breaks down how that tends to end up impacting the mental health and mental well-being of many men. Enjoy the episode
5/12/20221 hour, 7 minutes, 37 seconds
Episode Artwork

Ep 50 - 2021 Unfiltered

We’ve heard Michael and Nadia interview many people, and we’ve listened to them discuss many issues about mental health and specifically about mental health for men. As we are closing the year and welcoming a new year, they’ve decided to share their experiences about 2021 and the expectations and plans for 2022. They open up about the different struggles they all went through in 2021, what challenged them mentally, how these challenges affected their mental health and the people around them, and most importantly, what were the lessons learned? They leave no stone unturned. Like we said, 2021 Unfiltered.
12/30/202143 minutes, 36 seconds
Episode Artwork

Ep 49 - Shoot your shot

It is the 21st Century, and a lot has changed regarding the dynamics of both men and women. While in the past, things like arranged marriages made it slightly easier for men to find women they wanted as life partners, the current climate requires most men to step up and approach women first, and in some cases, we’ve had women approaching men as well. While this is the reality of the world right now, there are still many questions that need to be answered. Are men equipped enough to have good conversations with women? Can men handle rejections when they are told NO? Why do some men troll women online when things don’t go their way? In this episode, the advocate for “Shooting your shot,” Mr. Emmanuel Mbunda, mostly known as Digital Migrant, discusses the importance of this subject with Michael and Nadia as well as sharing the do’s and don’ts of shooting your shot, but most importantly discussing the challenges modern Tanzanian men face when it comes to holding down conversation with the other gender.
12/16/20211 hour, 31 minutes, 39 seconds
Episode Artwork

Ep 48 - A man's obsession with power and control

Why are men so obsessed with power and being seen in control of everything? Is that what makes a real man? Where did this obsession come from? What impact does it have when it comes to men and relationships? Have you ever heard of the wheel of control? Have you ever been trapped in it? Have you ever trapped someone in it? Is the wheel of power toxic? Can we eliminate the men’s desire to take hold of the wheel of power and control? Enters Rajab Mziray, an active member of Men Engage Tanzania, a network that aims at breaking the cycle of men’s toxic masculinity habits and involving men in the conversation of gender equality. In this episode, he sits with Michael and Nadia. He discusses a man’s obsession with power and control, how society has championed these habits for the longest time, and the importance of men being willing to address this openly to become better men and humans.
12/2/20211 hour, 44 minutes, 44 seconds
Episode Artwork

Ep 47 - A man's journey into fame

At the age of just 21 years old, Idris Sultan won the grand prize of $300,000 from Big Brother Africa House. He lost it all by the age of 23 and he was sinking in debts. He got his life together and cleared his debts by 24, and made three times the money he had lost by the age of 25. Sounds like a story made for Hollywood or Nollywood, right? I mean, for most of us probably that would be the end of us, and we would never be able to pick ourselves up and start again. BUT Idris is not most of us. He joins Nadia and Michael, to talk about his story of resilience and how the best thing to ever happen to him was probably losing that money. He takes them on a ride of how he has had to build himself up as a human being and as a man to become the powerhouse he is right now. His fears on commitment, his views on love, the things he stands for, the price of fame, his mental health struggles, and why it is so important for him to look after his mental health. But then again, this is Idris, he hit us with the breaking news about his future moves towards the end of the podcast. Enjoy the conversation
11/18/20212 hours, 2 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

Ep 46 - Childhood attachment styles & Adult relationships

Given Edward has mastered the tech world, has his own company, he has traveled the world and has received an award from the Queen. Having done all that at the age of just 27, Given looks like he has accomplished it all. And let’s be real, the man has done well for himself. It’s almost tempting to pin it purely on luck. However, as far as luck is concerned, Given would have been considered unlucky from the day he was born.  Raised only by his mother, who had no job, after his father ran away before Given (and his twin) were even born; Given shares how that made him grow up quicker and view responsibilities differently from a younger age. He also shares how the experience shapes how he views relationships, both personal and in business.  Michael and Nadia walk with Given on this journey of today’s episode as he opens about his vulnerabilities, his fears, and his struggles, emotionally. He also shares his successes and his pride in being a man enough to open up about this in this episode.
11/4/20211 hour, 31 minutes, 11 seconds
Episode Artwork

Ep 45 - Black Tax, maker or breaker of poverty cycle?

Black Tax has always existed in our African communities. It is what has helped most of our parents to achieve what they have been able to achieve BUT also, some say it has limited their potentials. As modern men, most of us are the beneficiaries of this system. Through the whole community chipping in and helping out, some of the men in our communities were able to live up to and achieve their full potentials. Now, is it a must for them to pay back their dues by helping others? Is Black Tax creating a vicious cycle that we can’t get out of or this is the way that all of us can help each other out from the pool of poverty? Matter of fact, IS THERE ANY PROBLEM WITH BLACK TAX? Michael and Nadia have a deep conversation with Samwel Ndandala, a financial guru in Tanzania about the concept of Black Tax and its impact on the modern society
10/21/20211 hour, 30 minutes, 32 seconds
Episode Artwork

Ep 44 - Cultural Transition, Cultural Shock & Re-Adjusting

Kusoma nje ya nchi ya Tanzania kuna mpa mtu faida nyingi sana ukilinganisha na ambae hatapata nafasi hiyo. Vitu kama ubora wa elimu na “exposure” anayoipata si vitu vya kubeza hata kidogo. Kwa wengi ambao hawakupata nafasi hiyo huwa wanawaangalia waliopata hizo nafasi kama watu ambao tayari njia yao ya mafanikio imeshasafishwa na imeshachongwa kabisa, uongo? Lakini je, umeshawahi kujiuliza juu ya maisha ya ughaibuni? Ni namna gani watu wanamudu kuishi mbali na wawapendao kwa muda mrefu? Ni vipi wanaweza pambana na changamoto kama zinazotokana na kuwa mbali na nyumbani? Ni namna gani matarajio ya watu waliobaki nyumbani kwa watu hawa hugeuka kuwa mwiba mchungu kwa walio wengi? Tunajua kwanini wengine hushindwa kurudi nyumbani? Na hata wakirudi, tunafahamu wanayoyapitia? Webiro “Wakazi” Wasira anaketi na sisi na kutuambia namna mabadiliko haya yanavyoweza aidha kumjenga mtu au kumbomoa kabisa na yeye amewezaje kufika hapa alipo? Alipitia yepi? Nini ni uzoefu wake? Msikilize hapa
10/8/20211 hour, 32 minutes, 17 seconds
Episode Artwork

Ep 42 - Unmatched Mindset

Umeshawahi kutaka kufanya kitu ambacho wewe mwenyewe kwa dhati kabisa kutoka moyoni mwako unafahamu kwamba ni ndoto yako na unatamani sana kuitimiza ila watu wanaokuzunguka wasilione hilo wala kukubaliana nalo? Ulifanya nini? Uliweza kukomaa na kutimiza ndoto zako au uliamua kuua ndoto zako na kuishia kufanya kile ambacho kila mtu alikwambie ufanye? Inahitaji ushujaa, uvumilivu na commitment ya hali ya juu ili kuweza kutimiza ndoto zako, na inakua ngumu zaidi pale ambapo jamii, familia na watu wake wa karibu wanaokuzunguka wanaposhindwa kuamini na kukusaidia kutimiza ndoto ulizonazo. Phineas Steven kutoka “Unmatched Basketball” anajua vizuri sana kuhusu yote haya, Ila haikumzuia yeye kwenda mbele ili kuhakikisha ndoto yake inatimia. Karibu usikilize maongezi yake, karibu usikilize “unmatched mindset” yake ilivyomfikisha hapa alipo
9/9/20211 hour, 20 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

Ep 34 - To New Hobbies and Trying New Things

Hii ni kwa ajili ya kujaribu kufanya vitu vipya, kwa ajili ya kuwa tofauti na zaidi ya yote, ni kwa ajili ya mabadiliko ya afya ya akili ya Mwanaume wa kitanzania Binadamu wengi sana hua tunaridhika na yale tunayoyajua na yale ambayo tumeyazoea. Na mara nyingi huwa tuna hofu kubwa sana ya kujaribu mambo maya aida kwa sababu ya mazoea au kwa kuhofia matokeo ya lile jambo. Lakini, tutawezaje kuwa watu bora na tutawezaje kubadilika kama hatutaki kujaribu mambo mapya? Danny pamoja na Patrick wameamua kuwa tofauti, kwa kufanya vitu ambavyo vina faida kwao na kwa Afya ya akili zao. Funzo kubwa hapa ni kwamba, hakuna ubaya kwenye kufanya vitu tofauti, na vinaweza kukuletea matokeo bora sana kwenye maisha yako. Hii ni kwa ajili ya kujaribu kufanya vitu vipya, kwa ajili ya kuwa tofauti na zaidi ya yote, ni kwa ajili ya mabadiliko ya afya ya akili ya Mwanaume wa kitanzania
9/4/20211 hour, 10 minutes, 34 seconds
Episode Artwork

Ep 41 - Finding your purpose

Kwa nini unaishi? Ni kipi ambacho unakitaka maishani? Ni kipi unachokithamini? Upo tayari kukifanyia kazi ili kukipata? Upo tayari kuachana na yale ambayo yanasimama katikati ya wewe na kufikia pale unapotaka kufika? Upo tayari kulipa gharama za kuweza kufika pale? Na zaidi ya yote, KWA NINI hicho kitu ni muhimu kwako? Safari ya miasha inakuja na mambo mengi sana, méngine tunaweza yaelezea mengine hatuwezi ila ukweli ni kwamba watu wengi sana bado tupo kwenye safari ya kujitafuta na ya kuweza kuelewa kwanini tupo hapa duniani. Ben Owden ameweza kuwa wazi na kuelezea safari aliyopitia yeye ili aweze kujitambua. Ameeleza mafanikio na changamoto za safari hii yenye milima na mabonde, jasho na machozi na mchakato mzima (process) muhimu kwa mtu kupitia ili aweze kuwa mtu bora zaidi
8/26/20211 hour, 26 minutes, 27 seconds
Episode Artwork

Ep 40 - My Time in Prison

Kutana na Tito Magoti, mwanasheria kijana kutoka Tanzania. Mwaka 2019, alijikuta gerezani ambapo alikaa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Sasa Tito ametoka, anaendelea na maisha yake. Unahitaji nini ili uweze ku “survive” maisha ya gerezani? Watu wako wanaokuzunguka inabidi wafanye nini ili waweze endelea kukutia moyo? Nini kilichompa Tito nguvu na moyo wa kuishi gerezani na kumfanya asikate tamaa ya maisha? Baada ya kutoka gerezani, jamii imempokeaje Tito? Yupo tayari kuishi maisha ya mtu anayeangaliwa sana na jamii kila anapokwenda? Gerezani kumembadilisha vipi Tito? Na zaidi ya yote, vipi kuhusu afya ya akili magerezani? Maswali ni mengi sana kutoka kwa Michael Baruti pamoja na Mwanasaikolojia Nadia Ahmed, karibu usikilize maongezi haya.
8/12/20211 hour, 8 minutes, 26 seconds
Episode Artwork

Ep 39 - Men do communicate, differently

Wanaume hawajui namna ya bora ya kuwasiliana, kuanzisha mazungumzo ya muhimu na inawezekana hawajui kabisa kuongelea wanayoyapitia, wanayoyafikiria au kuelezea hisia zao wakiwa kwenye mahusiano, hii ni dhana iliyojengeka kwa watu wengi sana, je ina ukweli wowote? Baadhi ya wanaume wanapingana na hili, na wanasema si kweli. Wanaume wanaweza sana kuwasiliana, sema tu wanawasiliana kwa namna ambayo ni tofauti na inahitaji muda kuielewa. Michael na Nadia wanazungumza kwa kirefu sana na Gillsant pamoja na Leslie juu ya mawasiliano, matarajio na changamoto za kutokuwa na mawasiliano mazuri kwenye mahusiano kwa upande wa mwanaume na namna gani mawasiliano yanaweza kujenga au kubomoa kabisa mahusiano hayo.
7/29/20211 hour, 45 minutes, 6 seconds
Episode Artwork

Ep 38 - Ukweli kuhusu nguvu za kiume

Tatizo la nguvu za kiume ni tatizo gani? Linaathiri wanaume wangapi duniani? Chanzo cha hili tatizo ni nini? Matumizi ya dawa za asili kama “Vumbi la Congo” na “Al Kasusi” ni kweli yanasaidia kutatua tatizo hili? Ni tatizo linalotibika? Kuna madaktari wanaoweza kusaidia kwenye hili tatizo? Linahusiana vipi na afya ya akili? Mbona mara nyingine hili tatizo kama linapotea na mara nyingine kama linarudi? Kuna suluhisho la kudumu? Haya ni baadhi ya maswali ambayo wanaume wengi sana hujiuliza kuhusiana na “Nguvu za Kiume”. Katika nia ya kujenga na kuboresha afya ya akili kwa wanaume, episode hii imeamua kuzungumzia hili tatizo kwa undani tukiwa na matumaini kwamba kwa yeyote atakayesikiliza basi ataweza kupata taarifa za kina na taarifa sahihi. Michael pamoja na Nadia wamefanya mazungumzo ya kina na “Urologist” kutoka Tanzania, Dr Boio Nyamwihura ili kupata ukweli na taarifa zaidi kutusu mwanaume na “nguvu za kiume”
7/15/20211 hour, 11 minutes, 22 seconds
Episode Artwork

Ep 37 - Seemingly perfect? Think again (Part 2)

If you were asked the following questions; do you think you have mastered the art/science of life and communication? What does conflict resolution in your relationship(s) look like? Do you think it is possible to love the things that you’ve grown to hate? And lastly but most importantly, what's the importance of self-acceptance and self-awareness in our life journey? - Would you know the answers at the tip of your finger? Welcome, we are thrilled to have you back with us in this second part of our conversation with Princely Glorious. In this episode, Princely opens up on how he dealt with anxiety, what he has learnt to be the best way to communicate his thoughts and solve conflicts with his partner, how to disagree respectfully but also how stepping out of your normal routine and halting the things that matter to you could be a sign of anxiety. Join us as we unravel, learn and speak on this part of Mental health.
7/2/202156 minutes, 6 seconds
Episode Artwork

Ep 36 - Seemingly perfect? Think again (Part 1)

Look, Princely anaendesha kampuni nzuri inayofanya vizuri kibiashara, kampuni yake ilishinda shindano na wakapata hela nzuri tu ya kumwezesha yeye kuendelea kutimiza ndoto zake. Anaishi kwenye eneo zuri, na ni mtu poa sana. Hawezi kuwa na tatizo, na afya yake ya akili haiwezi kuwa challenged, right? WRONG Ukweli ni kwamba, si mara zote tuonekanavyo nje ndiyo tulivyo kwa ndani. Unaweza onekana kwamba una kila kitu nie, ila bado afya ya akili isiwe katika mahali sahihi. Inakuathiri vipi? Unatambuaje hilo? Unapambana halo kwa namna gani? Haya ni maongezi na Princely Glorious, mwanaume aliyeamua ku-share na sisi experience yake kwenye hili
6/17/20211 hour, 1 minute, 8 seconds
Episode Artwork

Ep 35 - Three Months Paternity Leave

Miezi mitatu ya likizo ya uzazi kwa mwanaume. Inaonekana kama kitu cha ajabu sana hata kukizungumzia, uongo au kweli? Can you imagine a man, a Tanzanian man to be precise taking three months paternity leave? Well, kama hauamini basi fahamu kuwa yupo mtu aliyefanya hivyo, na muda huu ulibadilisha kabisa maisha yake na mtazamo wake kwa ujumla juu ya uzazi na malezi kwa ujumla. Lakini pia tunazungumzia kwanini wanaume walio wengi hupata changamoto kubwa pale wanapopata watoto wachanga na namna gani jamii inayotuzunguka (ndugu na marafiki) inaweza kuwa na nafasi kubwa sana ya kukufanya utumie muda mwingi zaidi na familia yako pale unapobahatika kupata mtoto mchanga ili kusaidia kujenga familia bora zaidi.
6/3/20211 hour, 19 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Ep 33 - Blended Family, Fatherhood & Therapy

Moja kati ya mambo ambayo yapo kwenye jamii zetu ila hayazungumziwi sana ni namna ya kuweza kuwa baba bora na mume bora pale ambapo unaishi katika familia iliyochanganyika (Blended Family). Lakini ni namna gani unaweza kufikia hilo lengo pale ambapo kuna zaidi ya baba mmoja kwenye familia, zaidi ya mama mmoja, zaidi ya bibi na babu mmoja kwa kila upande na zaidi ya mtoto mmoja ambar yupo katikati ya haya yote? Michael na Nadia wameingia ndani na kulijadili hili kwa kina na ndugu Reuben Ndege anaefahamika zaidi kama Ncha Kalih
4/30/20211 hour, 22 minutes, 1 second
Episode Artwork

Ep 32 - Unpacking The Man Box

“The man box” Hili ni box ambalo sio rasmi, na limetengenezwa na Jamii linalotumika kuchanganua tabia za mwanaume. Kwenye box hili kuna mazuri kuhusu wanaume, lakini pia kuna vitu ambavyo sio sahihi kuendelea kuvishikilia kwa mwanaume anaetaka kubadilika na anaetaka kuwa bora. Lakini, nani alianzisha “box” hili? Mambo gani mazuri yanayopatikana katika hili box? Yepi ambayo si mazuri na hayafai? Na pia, namna gani wanaume tunaweza kuanza kuchambua na kutoa yasiyofaa kutoka kwenye hili box? Ungana na Michael, Nadia pamoja na Sadick Ali ambapo kwa wiki hii wameamua kulifungua hili box ili Jamii yote ipate kuona yaliyo ndani yake.
4/16/202158 minutes, 5 seconds
Episode Artwork

Ep 31 - How Do You Move On From A Big Loss?

KIla kitu kilikua kinaenda vizuri sana kwa Gabriel, wakati akiwa anasoma chuo kikuu alibahatika kupata mwenza wa maisha. Wakajaliwa mtoto mzuri wa kiume, na baada tu ya kumaliza chuo wote wawili wakaamua kufunga pingu za maisha. Familia nzuri, na changa hii ni ndoto ya watu wengi, si ndiyo? Lakini, wakati wa taratibu za kujifungua mtoto wa pili, mke wa Gabriel anafariki, na mtoto anapona. Katika umri mdogo wa miaka 30, Gabriel anapoteza mwenzi wake wa maisha, na anaachiwa watoto wawili ambao inabidi awape malezi. Ni vipi anafanikiwa kuendelea na maisha yake?
4/2/20211 hour, 13 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

Ep 30 - Lessons From My Father

Vuta picha, wewe ni kijana mdogo wa kiume, una miaka 7, unaishi na baba na mama na wadogo zako. Baba ni mwanasheria anayechipukia kwa kasi sana katika Serikali ya nchi changa ya Tanzania, mnaishi kwenye nyumba zuri ya hadhi ya juu na kila kitu kipo sawa. Then linatokea janga kubwa sana katika familia, unapoteza wadogo zako wote, mama anapelekwa jela na wewe unalala hospitali kwa miezi kadhaa ukiwa haujitambui. Pindi tu unapopata fahamu, baba anakuchukua unaenda kuishi nae nje ya nchi mkiwa mpo wawili tu, wewe na yeye. Hii ni story ya Taji Liundi. Anazungumzia namna gani milima na mabonde aliyovuka na baba yake. Na namna gani experience hii imechangia kumfanya awe namna alivyo sasa hivi.
3/12/20211 hour, 20 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

Ep 29 - Why men cheat?

We are back with a million dollar question, Why do men cheat? Kwa walio wengi hili ni swali ambalo bado halijapatiwa jibu. Kwanini wanaume wanakosa uaminifu kwenye mahusiano? Je ni tabia? Ni mapokeo? Ni swala ambalo jamii halijaliongelea kwa undani? Je lina suluhisho? Michael Baruti pamoja na Nadia, wanazungumza na John (sio jina lake halisi) na kujaribu kuliangalia kwa kirefu hili swala.
2/19/20211 hour, 12 minutes, 40 seconds
Episode Artwork

Ep 28 - Fatherhood & Parenting

Moja kati ya vipimo vya mwanaume bora kwa watu walio wengi ni namna mwanaume huyo anavyobeba majukumu yake kama baba. Lakini baba ni nani? Kazi ya baba ni nini? Baba anatakiwa awe vipi? Nini kinamfanya mtu kuwa baba bora? Nimelelewa na baba bora? Mimi ni baba bora? Nataka kuwa baba bora? Nitaweza kuwa baba bora?  Nini nifanye ili niweze kua aina ya baba ambae mwanangu anahitaji? Haya ni baadhi ya maswali ambayo wanaume wengi sana hujiuliza pindi linapokuja suala la kuwa mzazi na suala la malezi kwa ujumla. Kitu ambacho tunakifahamu ni kwamba si rahisi hata kidogo kuwa baba na ni lazima kuwekeza muda, nguvu na rasilimali. Togolani Mavura anazungumza na Michael pamoja na Nadia kwenye “episode” hii kuhusu nafasi ya baba kwenye malezi huku akitushirikisha uzoefu na ufahamu wake wa namna ya kua baba bora na ni kwanini ni muhimu sana kwa wanaume kupokea na kukumbatia majukumu yanayokuja pindi unapoanza kuitwa baba
12/18/20201 hour, 14 minutes, 39 seconds
Episode Artwork

Ep 27 - Manhood & Masculinity vs GBV

Meet Mr Anders Sjöberg. Mr Sjöberg is the ambassador of Sweden to the United Republic of Tanzania. Today at the Men. Men. Men. Podcast, on episode #27, we have the honor of sitting down with him at his beautiful residence in Oysterbay, Tanzania and discussing on GBV focusing on Men spaces. His inputs expressed the similarities and differences that both Tanzanian and Sweden Men poses when it comes to dealing with the victimized gender. The solutions that are being implemented, what works and what doesn’t work. How can Men challenge themselves when it comes to allowing these conversations? Is early-age integration of inclusive conversations helpful or will this create a mindset imbalance? Differences in biological factors, responsibilities and mindsets, toppled with growing-up cultures. Where does empathy play it’s part in these differences? What and how can the Tanzanian system and culture adopt and relate from the Sweden Culture, policies and reforms? Resources, rights and representation. Lastly, the most important question is addressed, “Why would Men Care to reform the deeming culture that benefits them?”
12/4/202041 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Ep - 26 - Kupiga Chabo & Mental Health

Kupiga chabo, kula deo, kupiga kideo, kuchungulia.(Voyeurism). Kama ni mtoto wa kiume ambae umekua hapa hapa nchini Tanzania, basi haya si maneno mageni na wengi sana wamekua wakiona hili ni jambo la kawaida la kufanya kwenye jamiio. Si jambo jema, si jambo la kujivunia LAKINI pia si jambo ambalo watu wanaliongelea. Je unafahamu kua kuna uhusiano wa afya ya akili na tabia hii? Unafahamu kua kuna urahibu (Addiction) ambayo inaweza kutokana na hiki kitendo? Nini chanzo chake? Kinaweza kuathiri vipi afya yako ya akili? Michael na Nadia wanajadili hili kwenye “episode” hii ya 26: Kupiga Chabo & Mental Health
11/20/202054 minutes, 33 seconds
Episode Artwork

Ep - 25 - How Trauma Affected My Speech

Ally Abdallah, alimpoteza baba yake akiwa na umri wa miaka mitano. Baada ya hapo, maisha yake hayakua sawa tena. Ally alipata kigugumizi jambo ambalo lilimpelekea kua na ukuaji tofauti na watoto wengi wa umri wake. Akiwa shule ilimlazimu kuficha kua ana kigugumizi, akiwa nyumbani watu walikua wakimshurutisha kua ajitahidi kuongea vizuri. Unadhani kuishi hivi ni rahisi? Kutana na Ally Abdallah, a comedian ambae anaamini kile anachosema ni muhimu zaidi ya jinsi anavyokisema, Kigugumizi hakijamrudisha nyuma wala kumzuia kuishi ndoto zake.
11/6/20201 hour, 6 minutes, 44 seconds
Episode Artwork

Ep - 23 - Male Infertility

Kupata mtoto ni jambo la heri, kupata mtoto ni jambo la baraka. Binadamu walio wengi wanatamani sana kupata baraka hii ya kujaliwa mtoto LAKINI sio kila mtu ana uwezo huu wa kupata mtoto. Wakati mara nyingi maongezo mengi yamekua yakielemea upande wa wanawake ambao hawawezi kupata Watoto, ukweli ni kwamba hata kwa wanaume kuna changamoto zake ila tu hua haziongelewi kiundani na kwa ukubwa wake. Kwenye “Episode” ya leo, Michael na Nadia wanazungumza na Dr France Rwegoshora ambae ni Daktari bingwa mwandamizi wa magonjwa ya wanawake na uzazi na wanajadili swala la “Male Infertility”
10/9/202047 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Ep - 22 - Life in the Public Eye

Una ndoto za kua maarufu nchini Tanzania? Una ndoto za kufahamika na kila mtu kujua jina lako, na sura yako kufahamika kila sehemu? Uko tayari kukabiliana na matokeo ya umaarufu wako? Unadhani Maisha ya watu maarufu ni rahisi na yenye furaha muda wote? Episode hii imezungumza na Dr Hamis Kigwangalla ambae ni Waziri wa Maliasili na utalii nchini Tanzania kuhusu “Life in the Public Eye” au Maisha kwenye macho ya umma.
9/25/20201 hour, 19 minutes, 47 seconds
Episode Artwork

Ep - 21 / Self Care/ The Value of Protecting Your Energy

Hakuna mtu aliyeletwa duniani akiwa anajua kila kitu, hakuna mtu ambae ni mkamilifu wa kila kitu na hakuna mtu ambae hastahili kukua na kubadilika (Evolve and Grow) Lakini kukua na kubadilika kwa mwanaume yeyote au mtu yeyote kunaanza pale anapojitambua na kuanza kujipenda na kujijali zaidi yeye hususani kwenye swala la afya ya akili, mwili na roho. Mara nyingi sana jamii yetu haimpi mwanaume nafasi ya kubadilika na nafasi ya kujifunza kutokana na makosa ya nyuma au nafasi ya kubadilika na kua bora zaidi ya alivyokua jana. Na hii ndio sababu tunataka kuzungumzia umuhimu wa “self-care” kwa mwanaume. Kwanini mwanaume ajijali zaidi yeye? Kwanini ajali ustawi wake wa afya ya akili, mwili na roho? Hii ina maana gani kwake? Inaweza kumfanya kua bora leo zaidi ya alivyokua jana? Ungana na Michael Baruti na Nadia walipoketi na kuzungumza kuhusu umuhimu wa “self-care” kwa mwanaume pamoja na Daniel Kijo
9/11/20201 hour, 7 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Ep 20 - Ujasiriliamali & Mental Health

ARE YOU MENTALLY STRONG TO BE AN ENTERPRENEUR? Kwa namna moja au nyingine, watu wengi tunawatazama wafanyabiashara na wajasiriamali kama watu ambao wamefanikiwa na wanaishi kwa kupigania ndoto zao. Watu tulio wengi tunatamani kuishi na kufanya kama wanavyofanya wao, na wengine wanafanya ionekana kua ni rahisi kua mjasiriamali na mfanyabiashara nchini Tanzania, si ndio? Well, ukiachana na maisha tunayoyaona kwa juu, unajua gharama za kua mjasiria mali nchini Tanzania kwa upande wa afya ya akili? Unaweza vipi kuzuia msukumo wa jamii, mtazamo wa familia huku ukipambana na urasimu wa mfumo wa kua mjasiriamali nchini Tanzania. ARE YOU MENTALLY STRONG TO BE AN ENTERPRENEUR? Michael na Nadia wanafanya mazungumzo na Jumanne Mtambalike CEO wa Sahara Ventures pamoja na Zahoro Muhaji, CEO wa Tanzania Startup Association kuhusu ujasiriamali and Mental Health in Tanzania
8/28/20201 hour, 38 minutes, 15 seconds
Episode Artwork

Ep 19 - Growing up without my Mother

Mama, nani kama mama? Hakuna kama mama. Kwa wanaume wengi, mama ndio maana halisi ya upendo. Ukiwa mtoto, mama ni mlinzi, mama ni mtetezi, mama ni muuguzi, mama ni mwalimu, mama ni kila kitu. Na ndio maana wataalam wa masuala ya akili na saikolojia wengi hua wanasema kua mara nyingi sana, mtu wa kwanza kupendwa na mtoto wa kiume anakua ni mama. Frank, ameishi kama “mtoto wa mama” kwa miaka 14, na ghafla Mungu akaamua kumchukua mama yake. Frank aliachwa na wadogo zake wawili pamoja na baba ambae aliona kua katika umri wa miaka 14, Frank ni mkubwa wa kutosha, na ana uwezo wa kuwaangalia wadogo zake vizuri huku pia akijiangalia na yeye mwenyewe. Je, baba alikua sahihi? Ni kweli Frank alikua tayari kwa majukumu hayo? Kuondoka kwa mama kumemfanya Frank awe na mtazamo gani kuhusu maisha, mahusiano na namna ya kuishi na watu kwenye jamii? Kwa mara nyingine tena, Michael Baruti na Nadia wanaketi na Frank kujaribu kuangalia maisha yake yalikuaje mama alivyofariki, na namna gani ameweza kukua bila mama huku wakiangalia athari yake inakuaje kwa wanaume wanaokua wakubwa bila kupata muongozo na mapenzi ya mama
8/14/20201 hour, 3 seconds
Episode Artwork

Ep 17 - Unpacking Abuse

Why do men get abusive? Can men be abused too? What do you do when you’re abused? How do you spot an abuser? Can a person be cured from being abusive? A lot of questions on this episode as Michael and Nadia try to unpack abuse with the help of Isaac Lema from the department of Psychiatry and Mental Health in Muhimbili
7/17/20201 hour, 20 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

Ep 16 - Growing up without my Father

our first heroes. But what happens when you realize they are only humans? They have their flaws or sometimes they can not be all we want them to be in our lives? In this episode Michael and Nadia have a talk with Ricky Boshe about him growing up without his father and how that has impacted his life as a man right now
7/2/20201 hour, 4 minutes, 32 seconds
Episode Artwork

Ep 15 - Bado Nipo Nipo Sana

When we were young, we couldn’t wait to grow up, but when we did! Oh what a shock! There was so much we needed to do. We needed to get a job! To succeed! To make money! To get married and to have children! Oh such pressure! In this episode we tackle the pressure of adulthood and how men face it and survive it!
6/19/202046 minutes, 13 seconds
Episode Artwork

Ep 14 - Financial Literacy

We spend years in school and in classes perfecting the knowledge that will help us earn a lot of money, yet we spend no time at all learning how to manage money. For most people, finance literacy is a foreign language. Everybody wants to earn good money; everybody wants to save money and everybody wants to spend money wisely. However, this is easier said than done. On Episode 14, Michael and Nadia have a chat with Sam Ndandala about financial literacy and what it means to men
6/5/202057 minutes, 11 seconds
Episode Artwork

Ep 6 - Rudisha mpira kwa Kipa With Salim

What do you do when you’ve lost it all, your wife is expecting, and you don’t have a single cent to even pay rent? As a man, what do you do? On this episode, Michael and Nadia have an interesting discussion with Salim. Salim lost everything that he had. With a pregnant wife to look after, he was left with no choice except moving back home with his parents. What did he do after that? Listen to this week’s episode of Men Men Men The Podcast
2/21/20201 hour, 6 minutes, 5 seconds