Katika majira ya kupokea msimu mpya wa kujaribiwa, unapaswa kuwa makini sana
27/8/2023 • 0 minutos, 0 segundos
USIUZE MAONO YAKO
Ukubwa wa changamoto zako unaakisi ukubwa wa maono yako
21/8/2023 • 0 minutos, 0 segundos
SIKU YA KUTISHA
Ishike sana imani, wala usimuache Mungu, maana siku ya kutisha inakuja ambayo kila mtu atatoa hesabu kulingana na matendo yake hapa duniani, yawe matendo mema au mabaya. Kila mtu atahukumiwa kwa kadri ya matendo yake (Ufunuo 20:13).
1/8/2023 • 1 hora, 0 minutos, 0 segundos
USIVUNJIKE MOYO
Katika maisha tunaweza kukutana na changamoto mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuvunjwa moyo hata na watu wa karibu yako. Katika yote hayo unatakiwa usivunjike moyo maana Mungu bado yuko upande wako kukupigania na kukushindia.
27/7/2023 • 0 minutos, 0 segundos
CHUKI
Chuki ni moja ya sababu za ubaya na dhambi za kila aina. Kaini alikuwa mwanadamu wa kwanza kuua, na sababu yake ilikuwa ni chuki dhidi ya ndugu yake. Neno la Mungu linasema "kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji ... (1 Yohana 3:15) na kwamba huwezi kumpenda Mungu wakati unamchukia ndugu yako (1 Yohana 4:20)
9/6/2023 • 1 hora, 0 minutos, 0 segundos
Usishindane - Sehemu ya Pili
Usishindane maana vita si yako ni ya BWANA (2Nyakati 20:15) kwa kuwa BWANA atakupigania nawe utanyamaza kimya (Kutoka 14:14).
27/5/2023 • 1 hora, 0 minutos, 0 segundos
Kanuni za Kupata Mali za Kiungu - Sehemu ya Tano
Ni mapenzi ya Mungu tufanikiwe katika mambo yote (ikiwa ni pamoja na kupta mali na utajiri) kwa kadri tunavyofanikiwa katika mambo yote ya rohoni (3 Yohana 1:2). Mungu ndiye atupaye nguvu ya kufanikiwa na kupata utajiri (Kumbukumbu 8:18)
26/5/2023 • 1 hora, 0 minutos, 0 segundos
Usishindane - Sehemu ya Kwanza
Usishindane maana vita si yako ni ya BWANA (2 Nyakati 20:15) kwa kuwa BWANA atakupigania nawe utanyamaza kimya (Kutoka 14:14).
11/5/2023 • 1 hora, 0 minutos, 0 segundos
Kanuni za Kupata Mali za Kiungu - Sehemu ya Nne
Ni mapenzi ya Mungu tufanikiwe katika mambo yote (ikiwa ni pamoja na kupata mali na utajiri) kwa kadri tunavyofanikiwa katika mambo yote ya rohoni (3 Yohana 1:2). Mungu ndiye atupaye nguvu ya kufanikiwa na kupata utajiri (Kumbukumbu 8:18).
8/5/2023 • 0 minutos, 0 segundos
Kanuni za Kupata Mali za Kiungu - Sehemu ya Tatu
Ni mapenzi ya Mungu tufanikiwe katika mambo yote (ikiwa pamoja na kupata mali na utajiri) kwa kadri tunavyofanikiwa katika mambo ya rohoni (3 Yohana 1:2). Mungu ndiye atupaye nguvu ya kufanikiwa na kupata utajiri (Kumbukumbu 8:18).